"Aliuawa": Mama anayeomboleza akataa ng'ombe na soda kutoka kwa wakwe za bintiye
Tuko News · 24 hours ago
Elis Sumari alisimulia kifo cha kusikitisha cha bintiye na kutaka haki itendeke baada ya kukataa zawadi kutoka kwa wakwe wanaohusishwa na mauaji hayo nchini...