Rais Ruto amkabidhi Museveni uenyekiti wa EAC katika kongamano la Arusha
KenyaMOJA.com · 19 hours ago
Rais William Ruto amempokeza Yoweri Museveni wa Uganda uenyekiti wa muungano wa Afrika Mashariki EAC katika kongamano lililoandaliwa Arusha Tanzania.