Mzee aliyetelekezwa akataa kuoga, asema anasumbuliwa na laana ya marehemu babake
Tuko News · 24 hours ago
Mzee mwenye umri wa miaka 72 anaishi kwa kutelekezwa, akidai laana kutoka kwa marehemu babake inasababisha akatae kutunzwa, chakula na hata kuoga.